Shirika la Huduma kwa Wanyama Pori ya Kenya

Huduma ya Wanyamapori Kenya,njia ya Kupanda Mlima - lango la Hifadhi
Huduma ya Wanyamapori Kenya,njia ya Kupanda Mlima - lango la Hifadhi

Shirika la Kenya la Wanyama Pori (KWS - Kenya Wildlife Service) lilianzishwa mwaka 1990. Inasimamia uasilia na viumbe hai wa nchi, ikilinda na kuhifadhi flora na fauna.

KWS inasimamia mbuga za wanyama za kitaifa na hifadhi nchini Kenya. Fedha zinazokusanywa kama ada ya kiingilio hutumika kusaidia uhifadhi wa mimea na wanyama ndani ya hifadhi au mbuga.


© MMXXIII Rich X Search. We shall prevail. All rights reserved. Rich X Search